Deuteronomy 28:28-29

28Bwana atakupiga kwa wazimu, upofu na kuchanganyikiwa kwa akili. 29 aWakati wa adhuhuri utapapasapapasa huku na huko kama mtu kipofu katika giza. Hutafanikiwa katika lolote ufanyalo; siku baada ya siku utaonewa na kunyang’anywa, wala hakuna yeyote atakayekuokoa.

Copyright information for SwhKC